UHAKIKI WA TAMTHILIYA YA NGOSWE – PENZI
KITOVU CHA UZEMBE
MTUNZI: EDWINI
SEMZABA
WACHAPISHAJI:THE
GENERAL BOOKSELLERS LTD
CHAPA YA 1-1988
UTANGULIZI
Ngoswe-penzi Kitvu cha Uzembe inaonyesha namna jamii inapaswa kushiriki
mipango mbalimbali ikiwepo ya kisiasa kiuchumi...
UHAKIKI WA TAMTHILIYA YA NGUZO MAMA YA PENINA MUHANDO (Hassan Lemunje)
NGUZO MAMA
MWANDISHI: PENINA MUHANDO
WACHAPISHAJI: DUP
MWAKA: 1982
UTANGULIZI
Tamthiliya ya NguzoMama iliyoandikwa na Penina Muhando inayasawiri na kuyaelezea matatizombalimbali yanayowakabili na kuwaelemea wanawake wengi wa Tanzania na Afrikakwa...
UHAKIKI WA TAMTHILIYA YA MORANI YA EMMANUEL MBOGO (Hassan Lemunje)
TAMTHILIYA: MORANI
MWANDISHI : E. MBOGO
WACHAPISHAJI : DUP
MWAKA : 1993
UTANGULIZI
Morani ni tamthiliya inayoelezea juu ya matatizo yaliyoikumba nchi yetu mwaka
1980 na kusababisha hali ngumu ya uchumi kwa tabaka la chini.Matatizo haya ni
kama uhujumu...