Wasiliana na mtoto wako kiziwi
Communicating with your deaf child
Lugha ya Alama ya Tanzania
Tanzanian Sign Langu...
Showing posts with label O LEVEL UHAKIKI WA USHAIRI. Show all posts
Showing posts with label O LEVEL UHAKIKI WA USHAIRI. Show all posts
UHAKIKI WA DIWANI YA MALENGA WAPYA BY TAKILUKI (Hassan Lemunje)
HAKIKI WA DIWANI YA MALENGA WAPYA
WAANDISHI: TAKILUKI
WACHAPISHAJI: O.U.P
MWAKA : 1997
UTANGULIZI
MALENGA WAPYA ni diwani yenye mkusanyiko wa mashairi yapatayo thelathini na saba (37) yaliyoandikwa na washairi wapya(malenga wapya). Washairi hawa ni wanafunzi wa...
UHAKIKI WA DIWANI YA WASAKATONGE NA MUHAMED SEIF KHATIBU
JINA LA KITABU; WASAKATONGE
MWANDISHI; MUHAMMED SEIF KHATIB
MCHAPISHAJI; OXFORD UNIVERSITY PRESS
MWAKA; 2003
UTANGULIZI
Wasakatonge ni diwani inayozungumzia hali ngumu ya maisha. Matatizo anayoyataja mshairi ni magumu kutibika mfano wa saratani, hata hivyo wananchi...