
TAMTHILIYA: MORANI
MWANDISHI : E. MBOGO
WACHAPISHAJI : DUP
MWAKA : 1993
UTANGULIZI
Morani ni tamthiliya inayoelezea juu ya matatizo yaliyoikumba nchi yetu mwaka
1980 na kusababisha hali ngumu ya uchumi kwa tabaka la chini.Matatizo haya ni
kama uhujumu...